AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
WAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair ametangaza kuwa anarejea tena kwenye siasa za Uingereza ili kupambana dhidi ya uamuzi wa kujiondoa kutoka Umoja wa Ulaya, maarufu Brexit.
Blair ambaye alikiongoza Chama cha Labour kuanzia mwaka 1994 hadi 2007, hata hivyo hatagombea katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 8.
Lakini ataunda vuguvugu la kisiasa juu ya majadiliano ya Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya.
Blair (63), ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kwa muongo mmoja kuanzia mwaka 1997, alisema anafahamu uamuzi wake huu utakumbwa na ukosoaji mkali.
Lakini alisema si sawa kwake kuachia suala la Brexit liende kama liendavyo, bila kutoa mchango wake.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK