TONY Blair Atangaza Kurudi Kwenye Siasa za Uingereza..!!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


WAZIRI Mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair ametangaza kuwa anarejea tena kwenye siasa za Uingereza ili kupambana dhidi ya uamuzi wa kujiondoa kutoka Umoja wa Ulaya, maarufu Brexit.

Blair ambaye alikiongoza Chama cha Labour kuanzia mwaka 1994 hadi 2007, hata hivyo hatagombea katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 8.

Lakini ataunda vuguvugu la kisiasa juu ya majadiliano ya Uingereza kujiondoa Umoja wa Ulaya.

Blair (63), ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kwa muongo mmoja kuanzia mwaka 1997, alisema anafahamu uamuzi wake huu utakumbwa na ukosoaji mkali.

Lakini alisema si sawa kwake kuachia suala la Brexit liende kama liendavyo, bila kutoa mchango wake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad