Wanawake: Hizi ni dalili 9 kuwa wewe si ‘main chick’ bali ni mchepuko wake tu !

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wanaume wengi ni wataalam wa kuwa na uhusiano na wanawake wengi kwa wakati mmoja. Sasa kwa msichana unayesoma makala hii, hizi ni dalili 9 kuwa huenda wewe si ‘baby number one’ wake bali ni mchepuko tu.
1. Mazungumzo mengi naye yanahusisha kufanya mapenzi tu

2. Hawezi kukualika kwenye mkusanyiko wa familia yake.

3. Hapendi surprises – hapendi uende kwake bila kumwambia

4. Ni mkali sana kwenye simu yake, hawezi kukuruhusu uishike

5. Ni mgumu kukuonesha mahaba ukiwa naye hadharani

6. Anahofia kupiga selfie na wewe

7. Anapigiwa simu za ajabu ajabu

8. Hakuiti wewe kama girlfriend wake. Akiwa na marafiki au
ndugu zake anakutambulisha kwa jina lako.

9. Haongelei kuhusu mipango yenu ya baadaye.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad