AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakati wanafunzi watatu majeruhi katika ajali ya basi la shule ya Lucky Vicent wakienda kwa matibabu nchini Marekani wanafunzi waliobaki shuleni leo wataendelea na masomo huku kukiwa na ukimya shuleni hapo.
Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Ephraim Jackson alisema jana kuwa shule hiyo inatarajiwa kufunguliwa leo baada ya kufungwa kwa wiki moja.
Amesema ratiba masomo pia itapangwa leo ikiwepo siku za kuanza mitihani ya muhula.
Hata hivyo tofauti na siku nyingine jana katika shule hiyo kilikuwa kimya hakukuwa na mwanafunzi.
Baadhi ya wafanyakazi eneo la usafi wa madarasa na magari walikuwa wakiendelea na usafi.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK