AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri mahiga ambaye ni waziri wa wizara ya mambo ya nje na Afrika mashariki amesema kwamba kipindi viongozi wakisafiri kwenda nje ya nchi, watanzania wengi hulaumu sana na kuwaita watalii, lakini sasa viongozi wamepunguza safari wanaitwa wasaliti na pia wengine wachache huchukizwa na viongozi kukaa ndani bila kwenda kutafuta fursa nje ya nchi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
mmmmh!!!!! hamna lolote. wala hakuna jipya. Hayo maongezi ni propaganda tu
ReplyDelete