Aliyewakatakata Watalii Mapanga Zanzibar Akamatawa na Polisi..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Polisi imemkamata mtuhumiwa anayedaiwa kuwajeruhi watu sita kwa kisu mjini Zanzibar Mei 29.

Mtuhumiwa huyo alikamatwa jana saa 8:30 mchana akituhumiwa kuwajeruhi watu hao katika mgahawa wa Lukmaan uliopo Mkunazini mjini Zanzibar.

Katika tukio hilo, raia wa kigeni wanne na Watanzania wawili walijeruhiwa maeneo mbalimbali ya miili yao kwa kuchomwa kwa kisu.

Mtuhumiwa anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Madema.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Hassan Nassir Ali amethibitisha kushikiliwa kwa mtuhumiwa huyo.

Amesema wanaendelea kumhoji ikiwa ni hatua za awali za upelelezi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad