AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt Philip Mpango amesema serikali itaendelea kuliboresha shirika lake la ndege nchini ATCL ikiwa ni pamoja na kuchukua madeni yake mbalimbali ili kuhakikisha shirika hilo linafanya kazi kama ilivyokusudiwa .
Dkt Mpango ametoa kauli hiyo wakati akijibu hoja za wabunge waliochangia bajeti ya Wizara hiyo ya fedha kwa mwaka wa Fedha 2017/2018.
“Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali amekamilisha ukaguzi wa shirika letu la ndege, ilikukamilimisha mizania ya kampuni, lakini tumeamua kuyachukua madeni yote ya ATCL ili kuweza kusafisha hiyo mizania,” alisema Dkt Mpango.
“Muheshimiwa Rais ameteua bodi mpya ya wakurugenzi ambayo inaweledi katika mambo ya usafirishaji wa anga, menejimenti mpya lakini kuhakikisha shirika linakuwa na mpango wa biashara wa muda wa kipindi cha kuanzia mwezi Julai mpaka mwezi Juni mwaka huu.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK