Alikiba Aombewa Kolabo Kwa Davido

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Davido na Alikiba

Shabiki mmoja wa Alikiba ameamua kujitosa kumuombea kolabo msanii huyo kwa hitmaker wa ‘Fall’, Davido kutoka Nigeria.



Shabiki huyo ambaye anatumia jina la peter_allyson kwenye mtandao wa Instagram, amecomment kwenye picha ya Davido hiyo hapo chini kwa kuandika,
“Plz plz broe do collaboration with alikiba plz plz plz plz plz plz plz plz is me tz boy.”


Ni mara kadhaa mashabiki wa Kiba wamekuwa na mchango mkubwa katika muziki wa msanii huyo hivyo sio ajabu kwa shabiki kama huyo kutupa karata yake ya mawazo kwa Davido.

Wawili hao wote wapo chini ya usimamizi wa Sony Music japo Davido anasimamiwa na Sony Music International na Alikiba yupo chini ya Sony Music Africa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad