Diamond Platnumz na Penzi la Wema Sepetu...Amuandikia Nyimbo......

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesema si kweli wimbo wake mpya ‘I Miss You’ aliuandika maalumu kwa ajili ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu.

Akizungumza na kipindi cha The Playlist cha Times FM, Diamond ameeleza yeye kuandika nyimbo kutokana na hisia alizonazo kwa wakati huo na huangali soko lipo vipi.

“Hapana, sio kweli kwa sababu Wema hana mtoto, hana familia is just to me, unajua Mwenyenzi Mungu amenibariki sana kuandika nyimbo za feeling, unajua tunatafuta market na ili tukue kimuziki ni lazima na muziki mwingine tufanye ili tusi-disappoint wa nyumbani ni lazima uwape chao na kule (kimataifa) ufanye,” amesema Diamond na kuongeza.

“Huwezi kuamini ilikuja tu, nikiandika nyimbo za mahusiano kama hizi sometime chozi linanitoka, nakumbuka mara ya kwanza huu wimbo nimeuandika nipo kwenye ndege sijui nilikuwa naenda wapi, nikawa napata feeling nikiandika topic hii itakuwa vizuri na Mungu kanijalia naweza kubadilika katika muziki wa tofauti tofauti,”
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad