AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mashirika ya kutetea haki za kibinadam nchini Tanzania yamesema hadi sasa haki za binadamu zimeonekana kuvunjwa katika sakata la mchanga wa madini kutokana na usiri wa mikataba, haki za kimazingira na kimaendeleo.
Ufafanuzi huu unakuja siku moja baada ya rais Dokta John Magufuli kupokea ripoti ya pili kuhusu biashara ya madini ilioangazia mikataba, ulipwaji wa kodi pamoja na usafirishaji wake kwenda kwenye mataifa yaliyoendelea kiviwanda.
Chanzo: DW
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hivi hawa watu wanaofanya kazi huko. Wanaa IQ zote kabisa. kuibiwa koteee huku wao wanaona ni sawa tu. Wafrica ni wamelala ni wa kuibiwa tu. Ni masikini wakubwa wenye mali nyingi na 1Q ndogo. Wao hawashuliki watu wenye shida masikini Bali wanataka watu wanye mahela. WAKIMBIZI WANGAPI WANAOKAMATWA WAKITAKA KUPITIA TANZANIA KUTOKA.NJI JILANI KUELEKEA SOUTH. WANAWEKWA VIBAYA. LAKINI HUWASIKII HAWA WATU. WAKATI HIZO NDIO KAZI ZAO. MMMH Africa wonder shall never end
ReplyDelete