KIMENUKA...Chadema Wamvaaa Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi Kisa Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baraza la Wazee wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na Katibu mkuu wao Roderick Lutembeka wamelaani kauli ya Aliyoitoa Rais mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassani Mwinyi, kwamba Kama isingekuwa Katiba basi Rais Magufuli angeendelea kuwa Rais bila kikomo.

Hata hivyo Wametazamisha kuwa hata kwa nchi jirani husani Rwanda mambo yalianza hivo hivo kwakupata hamasa ya watu na baadae Kagame akagoma kutoka madarakani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. hahahahah! Duh! Limewachomaje??? Ni mtazamo tu msikonde 'masela', hata JPM mwenyewe alishasema hii kazi ni ngumu, anatamani huu ungekuwa ndio mwaka wake wa mwisho. Ingawa ni kweli kabisa anastahili kuendelea kuongoza nchi hii milele, amen.

    ReplyDelete

Top Post Ad