AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
ASMA HONEY NI NANI?
Mrembo Asmah Honey Amewasiliana na sisi moja kwa moja na kudai kuwa yeye ni Mnyaruada kwa kabila na kwasasa anaishi Burundi, Amesema Tanzania Huwa anakuja tu kwa ajili ya kufanya biashara zake
KUHUSISHWA NA ZARI HASSAN
Asmah anadai mwenyewe haelewi kwanini watu wanamwita mdogo wake na Zari Kwani Hawana udungu wowote na Mama watoto huyo wa Diamond kutoka Uganda, Mtandao mmoja mkubwa Bongo ulitoa habari yenye kichwa cha Habari kinachosema 'Uwoya Amfanyia Kitu Kibaya Mdogo wake Zari " Kitu ambacho si Kweli, Mwenyewe Adai hata Zari Hajawahi kumuona Live zaidi ya Kwenye Mitandao..
KUTOKA KIMAPENZI NA PATRICK PCK
Asmah Honey amedai hizo ni kiki tu anazotafuta Mwanaume huyo kwani hajawahi toka nae kimapenzi zaidi ya kumsikia tu , Adai huyo Mwanaume hivi karibuni amekuwa akitumia wasichana tofauti kwa ajili ya kujitafutia Kiki magazetini na mitandoani
Ikumbukwe mwanaume huyo ameshaandikwa pia kuwa anatoka na Irene Uwoya na Mrembo Mwingine anayeitwa Kibonge Sexy
WOLPER KUMFUMA NA PCK NA KUMRISHIA MAWE
Mwenyewe amedai habari hiyo iliyoandikwa na mtandao mmoja mkubwa Bongo sio ya Kweli kwani yeye tarehe hizo zilizoandikwa kuwa alifumaniwa hakuwepo Tanzania , Asmah Pia amekana kumfahamu Irene Uwoya kama mke Mwenza Kwa PCK na Kudai anamuona tu mitandani
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK