AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yaani katika mambo ambayo hawataki kumkumbusha Magufuli ni ufisadi wa Richmond.
Katika mambo ambayo Chadema hawataki kumuwekea mkono Magufuli apute ni kuhusu swala la Richmond.
Hivi hofu ya Chadema ni ipi kwenye hili?
Kwa nini hatuoni makala za kumtaka Magufuli ashughulikie Richmond?
Hatuoni makala zinazosema kwamba sisi wapinzani tulipigia kelele sana swala la Richmond.
Hofu ya Chadema ni nini?
Kwa nini Ufisadi unaongelewa kwa vipande vipande?
By Jingalao/JF
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hahahahah! Hawaulizi kwa-sababu 'WALIBADILISHIA-GIA-ANGANI' hahahahah.....wamchokonoe mfadhili wao, hawajipendi! MKUKI-MTAMU-KWA-NGURUWE.........
ReplyDelete