Mashabiki wa Timu ya Gor Mahia ya Kenya Wamtaka Magufuli Kumpiga 'Tafu' Raila Odinga Kwenye Uchaguzi Mkuu wa Kenya..!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakati Gor Mahia ikiibuka na ushindi wa bao 3 0 dhidi ya AFC Leopard katika michuano ya SportPesa SuperCup ambapo watani hawa wa jadi kutoka Kenya walipokutana Tanzania, shabiki wa timu hiyo amemuomba Magufuli kutoa msaada kwa Raila Odinga.

Jenerali Jaro Soja ambaye ni Rais wa mashabiki wa Gor Mahia amemuomba Rais Magufuli kumsaidia mlezi wa timu yao hiyo Mhe.  Raila Odinga katika kampeni zake kama ambavyo kiongozi huyo alifanya kipindi Tanzania inafanya uchaguzi mkuu mwaka 2015 ambapo Raila Odinga alikuwa akimpa nguvu Rais John Pombe Magufuli. 

Jaro Soja anasema kuwa wao kama mashabiki wa Gor Mahia wanampenda sana Rais Magufuli kwa kuwa yeye ni rafiki mkubwa wa mlezi wao wa timu hivyo wanamkaribisha Kenya. 

Credit - EATV
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad