AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge Ally Kessy bungeni jana alisema wote wanaohusika na kusaini mikataba ya madini ambayo ni ya kinyonyaji wanyongwe, aliungwa mkono na wabunge wengine wa CCM
Lipumba naye alisema mikataba hii ni Mkapa ndiye aliyesaini, Je Ally Kessy hajui kuwa Mkapa ndio muhisika wa hili hadi akataka anyongwe? na kama anajua ni kweli anataka rais mstaafu anyongwe? au Lipumba alikuwa anadanganya?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hii mikataba ya madini yote ivunjwe tusaini mipya itakayo faidisha nchi
ReplyDeletewakishanyongwa ndio hayo madini yatarudi?? hovyooooo
ReplyDeleteBangi kweli siyo sigara nzuri ndiyo maana nilijitahidi mpaka nikaacha kuivuta sasa wakinyongwa ndiyo itakauwa poa kwa upande wako au vipi duh!Binadamu wengine wanajua kweli kuzingua
ReplyDelete