AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Magufuli amesema changamoto zilizopo nchini Tanzania kwa sasa zimeletwa na baadhi ya viongozi walioweka tamaa mbele na kwa sasa ni lazima wachukuliwe hatua ili nchi irudi kwenye mstari.
“Kuna changamoto nyingine zilisababishwa na viongozi wachache waliokuwa na tamaa za hovyohovyo, wakatufikisha hapa nataka niwahakikishie, nitalala nao mbele kwa kumtanguliza Mungu,“amesema Rais Magufuli huku akiendelea kuwaonya watu wanaoiba rasilimali za taifa kwa maslahi binafsi
“Tanzania hii ni nchi ya pili duniani baada ya Brazil kwa kuwa na vivutio vingi, lakini watu ni masikini, Huu umasikini hatukupewa na Mungu, Mungu alitupa utajiri lakini wachache wakatuuza, mimi nachukia wezi, na kwa kweli wezi watakoma tu,“amesema Rais Magufuli.
Rais Magufuli yupo mkoani Pwani kwa ziara ya siku tatu ambako anatarajiwa kuzindua viwanda vitano ambavyo ni Kiwanda vya vifungashio (Global Packaging Co Ltd), Kiwanda cha Matrekta (Ursus TAMCO Co ltd), Kiwanda cha Chuma (Kiluwa Steel Group), Kiwanda cha kukausha matunda na kiwanda cha vinyaji baridi cha (Sayona Fruits).
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wafanyie kweli Mr.President in the name of beautiful&lovely country of Tanzania and his lovely gentle patience and very friendly people may the Almighty one guide&protect you along this hard&dangerous way Ameen
ReplyDelete