AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ebitoke amesema kwa sasa mahaba yake yote yapo kwa Ben Pol na endapo atashindwa kupata penzi lake basi yupo tayari kupoteza uhai wake.
“Hapana Ben Pol hawezi kuacha kuwa na mimi, nitafanya kila njia ili aweze kuwa na mimi ,”amesema Ebitoke huku akisisitiza kuwa yupo tayari hata kujiua kwa ajili ya Ben Pol.
“Hata roho nitaweza kujitoa….ndiyo nitajiua kwa ajili yake.. ndiyo nitajiua kwa ajili yake… sitofanya dhambi kwa kujiua kwa ajili yake,”amesema Ebitoke kwenye mahojiano yake na Times FM.
Hata hivyo mrembo huyo mchekeshaji haswaa amesisitiza kuwa watu wasishangae maamuzi yake ya kujiua endapo atakataliwa na Ben Pol kwani mapenzi ni upofu na yana hisia kali moyoni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
NANI KASEMA ANAJIUA?? ANAKUZA TU JINA LAKE!!!!
ReplyDelete