AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msigwa amesema haipendezi kuwaita wawekezaji wa madini wezi kwani waliwekeza kwa kufuata sheria na taratibu zote.
Amesema mara zote Rais wa CCM hukabidhiwa ilani ya chama ambayo ina sera kwa ajili ya utekelezaji wa masuala mbalimbali yakiwamo madini.
"Mtuambie (CCM) Sera yenu ya madini ni ipi?" amesema Msigwa.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hahaha! Hatukushangai saaana, maana ndio huyo-huyo Msigwa alosema 'atakae-mpokea-Lowasa-apimwe-akili'.........wakampokea, na debe wakampigia tehetehe eti tusiwaite WEZI basi tuwaite WEVI
ReplyDelete