Rasmi...Mbowe Avunja Ukimya..Aanika Mahusiano Yake Hadharani na Wema Sepetu..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema clip ya sauti inayosambaa kwenye mitandao inayomuhusisha yeye na Wema Sepetu si ya kwake na hajawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Mrembo huyo.

Kiongozi huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, kuwa yeye anachukulia clip hiyo kama taarifa za kawaida za majitaka ambazo zinasambazwa wala hazina ukweli wowote.

“Kitu ambacho naweza kukisema kwa sasa hizo taarifa sio za kweli na timu yangu ya mtandao inajaribu kufuatilia kujua, na ukweli utajulikana muda sio mrefu,” amesema Mbowe.

Alipoulizwa kama anawajua waliofanya kitendo hicho, Mbowe amesema akizungumza sasa atakuwa anaharibu uchunguzi wao.

Pia ameongeza kuwa hajawahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na Wema Sepetu kama inavyosikika kwenye clip hiyo ya sauti.

“Hapana yule ni kiongozi wa kijamii kwa maana kwamba ni mwanachama wetu aliyejiunga na chama chetu, na wapo wanawake, wasichana, wapo watu wengi kwenye chama chetu ni kwamba kuna mahusiano si kweli ni taarifa tu za upotoshaji,” ameeleza Mbowe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad