AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kufanya uchunguzi Kamati imebaini kuwa ACACIA haikusajiliwa nchini Tanzania, ACACIA haina sifa ya kupata leseni ya kuchimba wala kufanya biashara ya madini nchini:- Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro
ACACIA MINING inafanya biashara ya madini kinyume na sheria za nchi, hili jambo ni la ajabu linaweza kufanyika Tanzania tu lakini nchi nyingine haliwezekani - Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro
Kuna Taasisi za serikali kama TRA wamekuwa wakishirikiana na ACACIA wakati watu hao hawatambuliki kisheria, hili jambo linaweza kutokea Tanzania tu si nchi nyingine - Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro
Baadhi ya watumishi wa serikali wamelitia aibu Taifa, kwa kutoa taarifa za uongo, kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu - Prof. Nehemiah Osoro. #RipotiYaMchanga
#RipotiYaMchanga
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Acacia avune alichokipanda ndio kilichobaki
ReplyDelete