Ripoti ya Pili ya Mchanga wa Madini Yabaini Makubwa...Watanzania Tuamke

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


magufuli
Baada ya kufanya uchunguzi Kamati imebaini kuwa ACACIA haikusajiliwa nchini Tanzania, ACACIA haina sifa ya kupata leseni ya kuchimba wala kufanya biashara ya madini nchini:- Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro

ACACIA MINING inafanya biashara ya madini kinyume na sheria za nchi, hili jambo ni la ajabu linaweza kufanyika Tanzania tu lakini nchi nyingine haliwezekani - Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro

Kuna Taasisi za serikali kama TRA wamekuwa wakishirikiana na ACACIA wakati watu hao hawatambuliki kisheria, hili jambo linaweza kutokea Tanzania tu si nchi nyingine - Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro

Baadhi ya watumishi wa serikali wamelitia aibu Taifa, kwa kutoa taarifa za uongo, kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu - Prof. Nehemiah Osoro. #RipotiYaMchanga

#RipotiYaMchanga
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad