Ripoti ya Pili ya Mchanga wa Madini Yabaini Makubwa...Watanzania Tuamke

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

magufuli
Baada ya kufanya uchunguzi Kamati imebaini kuwa ACACIA haikusajiliwa nchini Tanzania, ACACIA haina sifa ya kupata leseni ya kuchimba wala kufanya biashara ya madini nchini:- Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro

ACACIA MINING inafanya biashara ya madini kinyume na sheria za nchi, hili jambo ni la ajabu linaweza kufanyika Tanzania tu lakini nchi nyingine haliwezekani - Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro

Kuna Taasisi za serikali kama TRA wamekuwa wakishirikiana na ACACIA wakati watu hao hawatambuliki kisheria, hili jambo linaweza kutokea Tanzania tu si nchi nyingine - Mwenyekiti Prof. Nehemiah Eliachim Osoro

Baadhi ya watumishi wa serikali wamelitia aibu Taifa, kwa kutoa taarifa za uongo, kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu - Prof. Nehemiah Osoro. #RipotiYaMchanga

#RipotiYaMchanga
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad