Shilole Amlipia Kodi ya Nyumba Nuh Mziwanda....Mke Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

June 22, 2017 kupitia XXL ya Clouds FM mtangazaji Soudy Brown ametusogezea U HEARD ambayo inamuhusu mwimbaji wa Bongofleva Nuh Mziwanda ambaye inadaiwa kodi ya nyumba anayoishi na familia yake amelipiwa na aliyekuwa mpenzi wake Shilole.

Kufuatia kusambaa kwa taarifa hizo Soudy Brown alipiga story na Nawal ambaye ni mke wa Nuh Mziwanda na kusema haimuhusu akidai kitendo hiko ni vizuri kwa kuwa kinampunguzia mumewe majukumu na haimuumizi bali anaangalia maisha yake.

Kwangu mimi naona vizuri inampungumzia mume wangu majukumu kwa sababu ana majukumu mengi; amuangalie mtoto wake, mkewe, familia, bado yeye mwenyewe. Kwa hiyo hata kama yeye akilipa kodi hainiumi hata kidogo. Mimi naangalia maisha yangu.” – Nawal.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad