AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kufuatia kusambaa kwa taarifa hizo Soudy Brown alipiga story na Nawal ambaye ni mke wa Nuh Mziwanda na kusema haimuhusu akidai kitendo hiko ni vizuri kwa kuwa kinampunguzia mumewe majukumu na haimuumizi bali anaangalia maisha yake.
Kwangu mimi naona vizuri inampungumzia mume wangu majukumu kwa sababu ana majukumu mengi; amuangalie mtoto wake, mkewe, familia, bado yeye mwenyewe. Kwa hiyo hata kama yeye akilipa kodi hainiumi hata kidogo. Mimi naangalia maisha yangu.” – Nawal.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK