AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Job Ndugai amemtumia salamu za rambirambi Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe, kufuatia kifo cha Mzee Ndessamburo kwa kuweka wazi kwamba ni kiongozi ambaye alikua mchapakazi kwa wananchi wake.
“Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mh. Ndesamburo ambaye pia ni baba wa Mbunge wa Viti Maalumu Lucy Owenya kilichotokea mkoani Kilimanjaro hakika ni pigo kubwa” Alisema
Aidha Mh. Ndugai amesema kuwa marehemu Ndesamburo, aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo la Moshi mjini mwaka 2000 - 2015 atakumbukwa kwa uchapakazi wake wakati akiwa mbunge hasa katika kuwaletea wananchi wa jimbo lake maendeleo.
Mhe. Ndesamburo aliyezaliwa 19 Februari 1935, amefariki leo tar 31 Mei 1935 akiwa hospitali ya KCMC mjini Moshi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK