Ukarimu Mwingine Kutoka Vodacom Unaoendelea Kuwafikia Watanzania

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ukarimu ni miongoni mwa mambo ambayo huwafanya watu kuishi kwa amani, upendo, ushirikiano na mshikamano siyo tu Tanzania bali popote katika Dunia hii.

Sio kila sehemu unaweza kuupata ukarimu lakini Vodacom Tanzania Foundation wameweza na wametusogezea Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom kwa lengo la kuwaleta pamoja Watanzania katika Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan.

Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom imendeelea kuwafikia Watanzania katika maeneo mbalimbali Tanzania ikiwa na lengo la ukarimu, ushirika na utoaji katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan na katika maisha ya kila siku.


Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ocean inayomilikiwa na Taasisi ya Marwa iliyoko Mtwara wakijiandaa kupata Futari mwishoni mwa Juma.


Watoto wanaolelewa katika kituo cha Watoto Yatima cha Mwinyi Baraka kilichopo Misugusugu Kibaha, Pwani, wakiwa na Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC Glori Mtui.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad