AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sio kila sehemu unaweza kuupata ukarimu lakini Vodacom Tanzania Foundation wameweza na wametusogezea Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom kwa lengo la kuwaleta pamoja Watanzania katika Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan.
Kampeni ya Ukarimu wa Vodacom imendeelea kuwafikia Watanzania katika maeneo mbalimbali Tanzania ikiwa na lengo la ukarimu, ushirika na utoaji katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan na katika maisha ya kila siku.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Ocean inayomilikiwa na Taasisi ya Marwa iliyoko Mtwara wakijiandaa kupata Futari mwishoni mwa Juma.
Watoto wanaolelewa katika kituo cha Watoto Yatima cha Mwinyi Baraka kilichopo Misugusugu Kibaha, Pwani, wakiwa na Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania PLC Glori Mtui.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK