AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dully amesema kuwa “Upande wa Alikiba hawataki kuwa karibu na mimi ila upande wa Diamond wapo karibu na mimi, sababu hao wapo karibu na mimi na wao wananionyesha upendo ndio maana nipo karibu nao na sina tatizo na AliKiba wala Diamond,”
Dully alisema hayo wakati wa mahojiano na kipindi cha 180 Power cha Sibuka Fm, alipoulizwa swali na mtangazaji wa kipindi hicho Byno, kuwa baada ya kufanya kazi na Harmonize, watu wanahisi unaupendeleo na upande huo na umeuacha upande mwingine ambao ni Alikiba.
Hits maker huyo wa ‘Yono’ pia alifunguka juu ugomvi wa Diamond na Alikiba na kusema kuwa yeye hawezi kujiingiza katika hilo, yeye ni mtu mzima na ugomvi wao ni wakitoto.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK