Upande wa Alikiba hawataki kuwa karibu na mimi – Dully Sykes

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa muziki, Prince Dully Sykes amedai kuwa upande wa Alikiba hawataki kuwa karibu naye ila upande wa Diamond wanamuonyesha upendo ndiyo maana yupo karibu nao.

 

Dully amesema kuwa “Upande wa Alikiba hawataki kuwa karibu na mimi ila upande wa Diamond wapo karibu na mimi, sababu hao wapo karibu na mimi na wao wananionyesha upendo ndio maana nipo karibu nao na sina tatizo na AliKiba wala Diamond,”

Dully alisema hayo wakati wa mahojiano na kipindi cha 180 Power cha Sibuka Fm, alipoulizwa swali na mtangazaji wa kipindi hicho Byno, kuwa baada ya kufanya kazi na Harmonize, watu wanahisi unaupendeleo na upande huo na umeuacha upande mwingine ambao ni Alikiba.

Hits maker huyo wa ‘Yono’ pia alifunguka juu ugomvi wa Diamond na Alikiba na kusema kuwa yeye hawezi kujiingiza katika hilo, yeye ni mtu mzima na ugomvi wao ni wakitoto.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad