AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutokana na uteuzi wa Mama Anna Mgwira aliyekuwa mwenyekiti wa ACT Wazalendo kuwa RC Kilimanjaro na mjumbe wa vikao vya CCM mkoa, Mh.Zitto Kabwe amekuwa akiandamwa mitandaoni na mashabiki wake.
Zitto amekuwa akilazimishwa kutoa tamko ikiwa pamoja na kukejeliwa kwamba ACT ni ''Amri ya Chama Tawala''. Lakini toka uteuzi huo Zitto Kabwe amekuwa aki-post nukuu za Quran jambo linaloonyesha kuweweseka kwake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK