AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na mchekeshaji mwenye vipaji vya kuigiza sauti mbalimbali za viongozi mbalimbali wa serikalini na watu mbalimbali Tanzania, akiongea na baadhi ya waandishi wa habari amesema kwamba hawezi kufanya ujinga huo wa kuigiza sauti za watu na kwamba Mh Freeman Mbowe ni kiongozi mkubwa sana na hawezi kufanya hivyo na kusisitiza kwamba wale wanaoelewa watakuwa wamesikia hiyo audio note na kujua kwamba sio mimi.
Asema nina mke na watoto leo hii nimtukane Mh Freeman mbowe mwenye wanachama zaidi ya Milioni 30 najitakia nini mimi (steven), siwezi kufanya hivyo
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK