AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kutembea tutembee na Azam,mimba aipate Yanga"....Wakati Simba ikichanua katika usajili Yanga wamekuwa wakosoaji wakubwa wa usajili wa Mnyama unaondelea.
Ajabu ni kwamba wao Mkemi ambaye ni kiongozi wa Yanga anaishia kupiga nao picha tu wachezaji wanaotamani kuwasajiri lakini wino unamwagwa timu nyingine isiyotegemewa!
Watani wamesemwa kusubiri kuokoteza baada ya wenye visu kuchukua chao mapema.
Kwa upande wa Simba mambo yanayoendelea kule ni hatari.Wanasoka wanaonya Simba ipunguze kasi tusije kujikita Taifa Stars yote inatokea Simba SC.
Chanzo JF
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK