Ukweli Mchungu...Mikataba Inasainiwa "Gizani", Ripoti Inakabidhiwa Hadharani! Tuendelee Kushangilia..!!!?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuna mambo yanatafakarisha sana. Na hili ni miongoni mwa mambo hayo! Leo ripoti ya pili ya "wataalamu" (wanasheria na wachumi) inakabidhiwa kwa Rais. Tangu juzi kumekuwa na hamasa kubwa mitandaoni ya kututaka wananchi leo tukae mbele ya tv kutazama tukuo hilo. 

Kuna tuswali twa kujiuliza:
1. Kama mikataba ya madini tuliyoingia ilisainiwa "gizani" kwanini ripoti iliyochunguza mikataba hiyo hiyo inakabidhiwa hadharani huku vyombo vyote vya habari vikitakiwa kusitisha shughuli zingine na kuhamia kwenye tukio hilo?

2. Kama kuna vipengele vya kisheria vinavyotaka kuwepo kwa "usiri" kwenye mikataba hiyo (kama ambavyo huwa tunaambiwa [wanasheria wanaweza kunisaidia hapa]) hiki kinachofanywa sasa hakina athari yeyote kisheria?

3. Hao wanaotaka ripoti hizo zikabidhiwe hadharani lengo lao ni nini hasa?

4. Je, ni sawa na ina tija kwetu wanyonge kiasi cha kushangilia mno, ripoti ya uchunguzi kuhusiana na mikataba ya ACACIA kukabidhiwa hadharani, lakini mikataba ya ununuzi wa bombadier; na mengine kufanyika gizani?

Na mimi pia ni mzalendo!

Chanzo JF
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad