AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Blac Chyna ambaye amezaa mtoto mmoja na Rob, wiki hii amejikuta akipokea mvua ya matusi na udhalilishaji pamoja na picha zake za utupu alizokuwa akimtumia mpenzi wake kuwekwa hadharani katika mtandao wa Instagram na mwanaume, ambaye anamtuhumu mpenzi wake huyo kuwamsaliti kwa kuwa na wanaume wengine kuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya.
Mwanasheria wa mrembo huyo, Lisa Bloom ametumia ukurasa wake wa twitter, kutweet kwa kumjulisha Rob kuwa anatakiwa kufika mahakamani jumatatu kujibu tuhuma zinazomkabili za kumdhalilisha mpenzi wake huyo wa zamani.
“I represent Blac Chyna. I just gave Rob Kardashian notice that we’ll be in court Monday seeking restraining orders against him. More to come,” ameandika mwanasheria wa Blac
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK