Haijawahi kutokea watu wanagombania kulipa kodi TRA – Rais Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema kuwa watu kugombania kulipa kodi haijawahi kutokea katika nchi Tanzania, huku akisema kwasasa kila mmoja anataka kwenda kulipa kodi.


Akizungumza leo wakati akizindua rasmi maonyesho ya kimataifa ya Biashara ya Sabasaba, Rais amesema Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) tatizo linaweza likawa kwa watendaji wa TRA walivyojipanga kupokea hizo kodi.

“Kwasasa hivi Watanzania wameamka katika suala la kulipa kodi mmeona tu juzi tulivyofanya mabadiliko tu kidogo tu katika kodi za majengo, siku za nyuma TRA walikuwa wanatoa kodi hizo kubwa tu na hakuna mtu aliekuwa anatamani kulipa, sasa wameweka kodi ambayo ni reasonable leo watu wanagombania kulipa kodi haijawahi kutokea katika nchi hii kila mmoja anataka kwenda kulipa kodi ,” amesema Rais Magufuli.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad