AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lulu amethibitisha kupitia Ukurasa wake wa Twitter na kuwashukuru waungwana walishirikiana kumtafuta Dada yake.
"Asante wote kwa ushirikiano wenu, Mungu mkubwa tumepata taarifa na tukaweza kumpata Fatna.Bila RT zenu nisingepigiwa na huyo Dada. Mbarikiwe" - Lulu
Lulu aliripoti na kuujuza umma kupitia mitandao ya kijamii kuwa Dada yake hajaonekana kwa muda wa saa 48.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK