JERRY Muro Amtupia Haji Manara Kijembe Hichi Baada ya Kumaliza Kifungo cha TFF, Adai Maisha ni Gwaride

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Aliyekuwa msemaji wa klabu ya Yanga, Jerry Muro amemaliza kutumikia adhabu yake.


Jerry alifungiwa mwaka jana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TTF) kwa mwaka mzima kutojihusisha na shughuli zozote za kimichezo kutoka na utovu wa nidhamu. Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram hiyo jana usiku Jerry aliandika haya machache.

Natabasamu kwa kuwa Leo 02/07/2017, nimemaliza kutumikia Adhabu “DHALIMU” Kikombe nilichonywea mimi na wao wamekipokea wanaanza kunywea humo, Maisha ni kama Gwaride Kiongozi akisema Nyumaa Geuka wa mbele anakuwa wa MWISHO na wa mwisho anakuwa wa KWANZA, Vumilia ndugu YANGU @hajismanara nakuaubiria “USWAHILINI” Kaeni tayari kwa ujio Mpya @yangasc@simbasc @azamfc
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad