FLORA Mvungi Apatwa na Kigugumizi Baada ya Kuulizwa Juu ya Ndoa yake na H Baba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

STAA wa sinema za Kibongo, Flora Festus Mvungi, kwa mara nyingine amejikuta akipatwa na kigugumizi cha kushindwa kujibu swali lililomtaka kufafanua juu ya kinachoendelea kwenye ndoa yake na mwanamuziki Hamis Ramadhan ‘H-Baba’ kufuatia tetesi za ndoa hiyo kuwa haipo tena.

Katika mahojiano na Wikienda maeneo ya Urafiki, Dar, wikiendi iliyopita, Flora ambaye amezaa watoto wawili na H-Baba, alijikanyaga baada ya kuulizwa kinachoendelea kwenye ndoa yake ambapo badala ya kujibu swali hilo alimtaka mwandishi wetu aulize mambo mengine na si masuala ya ndoa.

“Mimi niko huku (Dar), Hamis (H-Baba) yuko huko Mwanza, sasa hayo mengine sitaki kusema, kwa sasa niko bize na masomo ya Afisa Uhusiano wa Umma (Public Relation Officer), sitaki maswali ya ndoa, ila…., ilaaaa…. Lakini maisha yapo na yanasonga kama kawaida. Nakuomba uulize mambo mengine lakini siyo hilo,” alisema Flora ambaye ndoa yake na H-Baba ya miaka kadhaa ilijaa mbwembwe nyingi kabla ya kudaiwa kupigwa na kimbunga.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad