Kaburu Aandika Barua ya Kujitoa Kinyang'anyiro cha Urais TFF akiwa Mahabusu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Godfrey Kaburu aliyekuwa akiwania nafasi ya urais Katika Shirikisho la Soka Nchi TFF imedaiwa kuandika Barua ya kujitoa kwenye mbio hizo za Kuwania Urais wa Shirikisho hilo.

Juzi Kaburu na Aveva walipandishwa kwenye Kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Kusomowa Mashtaka Matano yakiwemo ya Utakatishaji Fedha.

Kaburu na Aveva walikosa dhamana  kutokana Mahakama hiyo kukosa miguu ya kusikiliza dhamana za makosa ya uhujumu uchumi.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad