Kwa Hii Serikali ya JPM Tutanyooka tu...SUMATRA yafungia Meli Mbili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) mkoani Mwanza imesimamisha usafiri wa meli mbili zinazotoa huduma ya usafiri wa abiria kati ya jiji la Mwanza na baadhi ya visiwa vilivyopo ndani ya ziwa Victoria kutokana na ubovu wa meli.

Mbali na hilo (SUMATRA) imeagiza wamiliki wa meli zingine tatu ikiwemo Mv Clarias inayomilikiwa na serikali kufanya matengenezo ya meli zao kwa haraka iwezekanavyo ili kuendelea kutoa huduma ya usafiri ulio salama kwa abiria na mali zao.  
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad