Meya wa Ubungo Dsm, Amefanya Uzinduzi Huu Jana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, leo Ijumaa 30 Julai 2017, amezindua kituo cha kisasa cha kukusanya kodi, ushuru na tozo mbalimbali katika eneo la Simu 2000 pamoja na Kuhamsisha wafanyabiashara,bodaboda na Abiria wa Mabasi madogo .

Hii itapunguza kero kwa  wananchi wanaoishi maeneo ya karibu na eneo la Simu 2000, kulipa kodi, ushuru na tozo mbalimbali ambapo awali walilazimika kwenda Kibamba zilizopo ofisi za Manispaa ya Halmashauri ya Ubungo.

Kituo hiki kipya kinategemea kuwasaidia wakazi wa Sinza, Makurumla, Mburahati, Mabibo, Makuburi, Ubungo na maeneo yote ya karibu.

Aidha amewataka Halmashauri ya Ubungo, kuwalinda na kuwatetea Bodaboda dhidi ya TANROADS na JESHI LA POLISI kwa kusajili vituo vya kupaki pikipiki na bajaji na kuwapa namba za utambuzi kwakuwa Bajeti ya Halmashauri 2017/218, inawategemea kuwapatia Bodaboda na Bajaji kiasi cha shillingi Billioni 4 kama chanzo cha mapato.Wakiendelea kughasiwa Halmashauri itazikosa pesa hizo.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad