Mwanamuziki Peter Msechu Alia na Clouds FM...Adai Ananenepa Kwa Vile Hapati Show.....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Bongo Flava, Peter Msechu amedai kuwa ananepa kwa sababu hafanyi show.


Muimbaji huyo ambaye ameachia ngoma mpya ‘Yakawa’, ameiambia XXL ya Clouds Fm licha ya kukosa show lakini bado anajitahidi kupunguza unene na kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiomba ushauri kwake kujua namna ya kupungua.

“Nanenepa sometime sio kwamba sifanyi mazoezi, ni kwamba nakosa show, nikija jukwaani nikiruruka napungua,” amesema Msechu.

Pia ameongeza kuwa, “sasa hivi nimepungua kuna jamaa jana wamenicheki kwenye mtandao anaulizia namna ya kupungua. Sasa nina kg kama 120 nilikuwa na kg 160”.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad