AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rob alifunguliwa mashitaka siku ya Jumatatu na mazazi mwezake kwa kosa la kumdhalilisha na kumyanyasa kijinsia kwa kuposti picha zake za utupu.
Chanzo cha karibu na familia kimeeleza kuwa Rob ameongea na dada zake pamoja na mama yake na kuwaomba radhi kwa kuposti picha yenye udhalilishaji katika mitandao ya kijamii. Pia mtu huyo ameeleza kuwa Rob anajutia kuweka hadharani malumbano yake na mwanamke huyo na hato fanya hivyo tena.
Hata hivyo baba Dream hakuomba radhi kwa madai yaliotolewa ya kuwa alikuwa akimnyanyasa kijinsia Blac, bali alisema anajutia kupuuza ushauri aliopewa na dada zake juu ya kuto kuwa na mahusiano na mwanamke huyo.
Inaelezwa kuwa familia hiyo imemshamsamehe kijana huyo na ndio maana hawakusapoti alichokuwa akikifanya katika mitandao.
Na Laila Sued
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK