“Naomba Serikali ilegeze Kidogo ili Mashabiki Wangu Wafurahi Kwa Viuno na Chura Yangu” – Snura

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama utakumbuka mwimbaji wa Bongofleva Snura aliwahi kuingia kwenye headlines baada ya video ya wimbo wake wa Chura kufungiwa na Serikali…sasa new stori ni kwamba ameiomba Serikali kulegeza kidogo baada ya video ya pili ya wimbo huo kupata mapokezi yasiyoridhisha.

Ayo TV na millardayo.com zimekaa na Snura na kusema:
”Video yangu ya Chura ya mara ya kwanza na video yangu ya pili niliyoifanya kimaadili kibishara, kiukweli imekwenda tofauti kwa sababu video yangu ya kwanza ilikuwa na kasi sana. Wengi tuliona walipost wakiwemo Don Jazzy mpaka meneja wa Lil Wayne.

“Kwa hiyo, ukiangalia video ya kwanza ilikuwa na kasi kuliko niliyoifanya ya pili. Naomba Serikali walegeze kidogo ili mashabiki zangu wafurahi kwani mashabiki wanapenda muziki wangu pia ukiangalia asilimia kubwa ya muziki ninaoufanya ni wa Kiswahili na lazima nioneshe viuno vyenyewe. Kwa hiyo Serikai watufikirie hilo.” – Snura.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad