AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ayo TV na millardayo.com zimekaa na Snura na kusema:
”Video yangu ya Chura ya mara ya kwanza na video yangu ya pili niliyoifanya kimaadili kibishara, kiukweli imekwenda tofauti kwa sababu video yangu ya kwanza ilikuwa na kasi sana. Wengi tuliona walipost wakiwemo Don Jazzy mpaka meneja wa Lil Wayne.
“Kwa hiyo, ukiangalia video ya kwanza ilikuwa na kasi kuliko niliyoifanya ya pili. Naomba Serikali walegeze kidogo ili mashabiki zangu wafurahi kwani mashabiki wanapenda muziki wangu pia ukiangalia asilimia kubwa ya muziki ninaoufanya ni wa Kiswahili na lazima nioneshe viuno vyenyewe. Kwa hiyo Serikai watufikirie hilo.” – Snura.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK