AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamke mmoja nchini Nigeria ameripotiwa kujitoa mhanga kwa kujilipua msikitini kaskazini mwa nchi hiyo.
Ripoti zinaonyesha kuwa watu nane wamefariki huku 18 wakiwa wamejeruhiwa vibaya baada ya mlipuko huo kutokea wakati mwanamke huyo akilazimisha kuingia katika msikiti huo.
Jenerali wa polisi mjini humo amesema kuwa mwanamke huyo amesababisha vifo vya watu wanane mjini Maiduguri.
Maiti na majeruhi zimefikishwa katika hospitali ya taifa.
Hapo awali mlipuko mwingine ulitokea Molai amabapo aliyejitoa mhanaga ndiye aliyepoteza maisha peke yake.
Hata hivyo mpaka sasa hakuna kundi lolote la kigaidi lililotangaza kufanya mashambulizi hayo.Bokoharamu wamekuwa wakifanya mashambulizi kama hayo siku za nyuma.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK