Nigeria: Mwanamke Ajitoa Muhanga na Kuua 8

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamke mmoja nchini Nigeria ameripotiwa kujitoa mhanga kwa kujilipua msikitini kaskazini mwa nchi hiyo.

Ripoti zinaonyesha kuwa watu nane wamefariki huku 18 wakiwa wamejeruhiwa vibaya baada ya mlipuko huo kutokea wakati mwanamke huyo akilazimisha kuingia katika msikiti huo.

Jenerali wa polisi mjini humo amesema kuwa mwanamke huyo amesababisha vifo vya watu wanane mjini Maiduguri.

Maiti na majeruhi zimefikishwa katika hospitali ya taifa.

Hapo awali mlipuko mwingine ulitokea Molai amabapo aliyejitoa mhanaga ndiye aliyepoteza maisha peke yake.

Hata hivyo mpaka sasa hakuna kundi lolote la kigaidi lililotangaza kufanya mashambulizi hayo.Bokoharamu wamekuwa wakifanya mashambulizi kama hayo siku za nyuma.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad