AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nimekusogezea mambo 7 makubwa kati ya mengi aliyozungumza kwenye hotuba yake.
'Pengine nikiondoka mimi hakuna atakayekuwa kama mimi, nasafisha njia ya Rais atakayekuja baada ya mimi' - Rais @MagufuliJP
'Ni lazima niyatapike yote haya, nikikaa nayo nitapata presha bure, ila wale walioyafanya wakumbuke na madhambi yao' - Rais @MagufuliJP
'Suala la ubinafsishaji mimi silipendi kabisa, siwezi nikawalaumu waliofanya hivyo lakini pia siwezi nikaacha kusema' - Rais @MagufuliJP
'Nataka Tanzania hii iwe kama Ulaya na tutafika tu, lakini ili tufike huko ni lazima tutabanana kweli kweli'- Rais @MagufuliJP
'Wananchi waliojenga kwenye hifadhi ya reli waanze kujiandaa kisaikolojia, wanaweza tu kuanza kubomoa taratibu nyumba zao'- Rais @MagufuliJP
'Niliporudishwa wizara ya ujenzi nilimfukuza Chief Executive Officer ndani ya siku 3 kwa sababu ya matumizi mabaya ya fedha' - @MagufuliJP
Wengine mmewachagua lakini wanaongelea ya mambo Dar es salaam tu kosea kuoa unaweza kutoa talaka lakini usikosee kuchagua - Rais @MagufuliJP
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Duh!Kauli hiyo ni ya kibabe na kutishana
ReplyDeletehujielewi na wala hutamwelewa Rais wetu
DeleteNi kweli, kwa bara hili. Hiliiiiii!!!!!!! Bara jeusiiiiii hataaaa hakuna baba Magu, Watu weusi na roho zao nyeusiiii Pia.
ReplyDeleteAlafu ni uzandkiki na upotoshaji makubwa wa habari au kauli za muheshimiwa raisi. Muheshimiwa raisi hakusema hakuna atakae kuwa kama yeye. Kuweka taarifa sahihi alichokisema muheshimiwa Magufuli ni kwamba inawezekna kabisa kiongozi atakaekuja baada ya yeye akashindwa kutenda anayoyayenda yeye hivi sasa. Chukua neno "inawezekna " katika kauli yake kwa maana yakwamba inawezekna hata akapatikana kiongozi mazuri zaidi ya yeye, tunaomba wahusika wa habari muache kupindua maneno kwani sio vizuri hata kidogo hasa unapomuhusisha kiongozi wa juu wa nchi.
ReplyDelete