AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Licha ya baadhi ya mastaa hao kuja kwa siri Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe amekutana na Watalii 26 ambao ni Mabilionea ambao wamewasili nchini kwa ajili ya kutembelea Mbuga ya Serengeti wakidai kuvutiwa na Tanzania kutokana na ubora wa Mbuga za wanyama.
Leo July 25, 2017 Ayo TV na millardayo.com zimezungumza na Waziri Maghembe:
“Wanatembelea nchi nane. Ni Mabilionea, Maraisi wa Makampuni. Kwa hiyo, wana Chama chao wakati wa likizo wanapenda kutembelea nchi kwa pamoja. Wakati huu wanatembelea nchi nane, walitembelea Uingereza, Rwanda na ya tatu Tanzania.
“Wakiondoka hapa wanakwenda Maldives, karibu na India halafu wanakwenda Nepal, Bhutan, Rajasthan. Ni watu ambao wamekuja Tanzania kwa ubora wake, kwa uzuri wake na wamekuja moja kwa moja Serengeti.” – Waziri Maghembe.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK