Tafiti: Maji ya Mto Msimbazi yana Sumu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MAJI ya Mtu Msimbazi yamebainika Kuwa yana 'sumu'  ambayo hayawezi kuwa Makazi salama kwa viumbe hai

Serikali imechukua sampuli ya maji ya Mto huo kwa ajili ya kayafanyia Tafititi ili kubaini kiwango cha sumu na ubora wa maji yake kwa matumizi ya binadamu.

Emanuel Gwae, Meneja wa  Maabara ya Mazingira  wa Ofisi ya Mkemia Mkuu, amsema kuwa maji hayo hayana oksijeni ya kiwango cha  milimita3.3  alipokuwa akitoa matokeo ya awali kwa wandishi wa habari leo, 

Amesema  kuwa maji  hayo sio salama kwa viumbe hai
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad