AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MAJI ya Mtu Msimbazi yamebainika Kuwa yana 'sumu' ambayo hayawezi kuwa Makazi salama kwa viumbe hai
Serikali imechukua sampuli ya maji ya Mto huo kwa ajili ya kayafanyia Tafititi ili kubaini kiwango cha sumu na ubora wa maji yake kwa matumizi ya binadamu.
Emanuel Gwae, Meneja wa Maabara ya Mazingira wa Ofisi ya Mkemia Mkuu, amsema kuwa maji hayo hayana oksijeni ya kiwango cha milimita3.3 alipokuwa akitoa matokeo ya awali kwa wandishi wa habari leo,
Amesema kuwa maji hayo sio salama kwa viumbe hai
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK