VIDEO: Taarifa Mpya Kuhusu Watoto Majeruhi wa Ajali Arusha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ambaye anaratibu mchakato mzima wa matibabu ya Watoto watatu Nchini Marekani, waliojeruhiwa katika ajali ya Basi la Shule ya Lucky Vincent ya Arusha iliyoua wanafunzi 32, kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa huo amesema hali za watoto hao zimeimarika na kwamba Wanatarajiwa kurejea nchini Tarehe 18/8/2017 siku ya Ijumaa majira ya saa tatu Asubuhi katika Uwanja wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).

Kuhusu kama watoto hao mpaka sasa watakuwa wameelezwa chcochote kuhusu ajali iliyowakuta, Nyalandu amelijibu swali hilo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad