Agnesi Masogange Akutwa na Kesi ya Kujibu Atakiwa Kujitetea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Agnesi Masogange Akutwa na Kesi ya Kujibu Atakiwa Kujitetea
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema video Queen, Agnes Gerald ‘Masogange’ ana kesi ya kujibu katika kesi ya kutumia dawa za kulevya, hivyo anapaswa kujitetea.

Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri amesema kuwa amekubaliana na hoja za ushahidi wa upande wa mashtaka, ambapo mshtakiwa amekutwa na kesi ya kujibu na ana haki ya kujitetea.

Baada ya kuelezwa hayo, Masogange amesema atajitetea kwa njia ya kiapo na atakuwa na mashahidi 3.

Kesi imeahirishwa hadi October 12, 2017 ambapo Agnes Masogange ataanza kujitetea.




----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad