AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha Cioaba amesema hayo baada ya kuona namna ya uchezaji wa wapinzani wao walicheza siku ya Jumamosi dhidi ya Ruvu Shooting FC na kutoka na ushindi wa mabao 7-0.
"Simba ni moja ya timu nzuri wanacheza mpira mzuri, na sasa wasubiri kitakachotokea kwenye mchezo huo. Timu yangu (Azam FC) malengo yake hivi sasa tumejipanga katika kila mchezo ni kuwa makini na kukusanya alama nyingi kadiri iwezekanavyo katika mashindano haya ya Ligi Kuu Tanzania Bara,” alisema Cioaba.
Timu ya Azam inatarajiwa kushuka dimbani Septemba 2 mwaka huu dhidi ya Simba SC huku ikiwakosa wachezaji wake wawili ambao ni nahodha Himid Mao 'Ninja' pamoja na kipa Mwadini Ally ambao watakuwa katika timu ya Taifa wakicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Botswana siku hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK