AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ishu ya Alikiba kumjibu Diamond Platnumz kutokana na mistari yake aliyo mchana kupitia wimbo wa ‘Fresh Remix’ na Alikiba kutumia ukurasa wake wa Twitter kumjibu Diamond, ishu yao bado imeendelea ambapo Staa Diamond amerudi tena na Verse hii inayomaanisha kuwa watu wana mdiscuss kwenye mitandanao kutokana na verse moja aliyochana kwenye wimbo huo.
Diamond ameamua kurudi na verse nyingine aliyochana na kuipost kwenye ukurasa wake wa Instagram yenye mistari hii……..>>>“Kufanya verse moja tu naona povu linawashuka, kina dada wavaa vitop na vibukta, hawatoi ngoma kazi twitter kunisuta, wasafiria nyota na hapa pia na jua ruska, wengine vishavu nukta lips kama tuta najiuliza ni laana au wameumbwa na hulka, wako pamoja kuposti simu na mafuta aaahaa msiniletee nuksi mimi huwa silagi vipusa” -Diamond
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wewe una tabia ya kondoo mshenzi mkubwa
ReplyDeleteThis comment has been removed by the author.
ReplyDelete