Dogo Janja Afunguka Namna Anavyomzimikia Irene Uwoya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA







Dogo Janja Afunguka Namna Anavyomzimikia Irene Uwoya
 Mwimbaji staa wa Bongofleva Dogo Janja ambaye amefunguka kuhusu maisha yake, muziki wake na namna walivyotofautiana na Producer P Funk Majani mpaka akaacha viatu studio za Bongo Records.

Mbali na hayo Dogo Janja kazungumzia pia kuhusu kudaiwa kuwa mapenzini na mwigizaji Irene Uwoya.

”Mtu kama Irene Uwoya ni namu-admire, nampenda lakini sipo naye kama vile watu wanavyofikiria. Love yangu kwa Irene Uwoya haifichiki ila suala la kuwa kwenye mahusiano naye mimi sina. Nimeshawahi kuwa na mtu aliyenizidi umri na nachezaga na wa mwaka 1987 au kuivuta 89.

“Anakuwa amenizidi miaka kama sita au mitano na nakuwa sawa kabisa japo huwezi nikuta nikitembea na mwanamke siwezi kabisa.” – Dogo Janja








----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad