AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dulla amesema mapenzi yao yalianza miezi saba iliyopita ila hawakutaka kuweka hadharani ila kwa sasa kwa vile wanaishi pamoja na kila mmoja amemridhia mwenzake wameamua kuweka wazi.
Ameongeza kuwa yupo tayari kuwalea watoto wawili wa Husna na ni jambo ambalo familia inalitambua.
“Ni kweli kwa sababu wahenga hawajaacha kitu wanakuambia ukipenda boga unapenda na ua lake, nashukuru watoto wananipenda na mimi nawapenda na ninaweza kuwahudumia, familia zimeridhia ndio maana tupo wote,” ameiambia E-Newz ya EATV na kuongeza.
“Tunaishi tunaheshimiana, huwezi ukaamini tangu niishi na Husna kama aliniboa sijui kama inafika hata mara tano. Muda mwingi sana tumekaa pamoja, hatukuchua muda mrefu tukaanza kusihi wote, tulikaa kama miezi miwili, alikuja home akanogewa basi akasahau kwake, hivyo yaani,” amesema Dulla Makabila.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK