Ester Bulaya Apewa Dhamana Akiwa Hospitali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ester Bulaya Apewa Dhamana Akiwa Hospitali
Mbunge wa Bunda Mjini Ester Bulaya amepewa dhamana baada ya kutimiza masharti ya kuwa na Wadhamini watatu pamoja na fedha Tsh. Milioni 20 na amepata rufaa ya kwenda kutibiwa Muhimbili.

Taarifa zinasema kuwa Mbunge huyo ameweza kudhaminiwa baada ya kushikiliwa na Polisi kwa siku mbili baada ya kumkata akiwa Hotelini huku pia akiruhusiwa kwenda kutibiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad